X See who is online -
ESCORT LOCATIONS

Jinsi ya kufanya kazi vizuri kwa Tovuti ya Exotic Tanzania

Karibu katika tovuti ya Exotic Tanzania

Hujambo na karibu katika tovuti ya Exotic Tanzania. Tunataraji ya kwamba utafurahia kuhudumu kupitia kwa tovuti yetu ya Exotic Tanzania. Kwa sababu hiyo, tungetaka kukupa mashauri yatakayokusaidia katika huduma hii ili kuhakikisha usalama wako.

Baadhi ya mashauri tunayotoa ni kama:

1) Kuwa na simu ya ziada na nambari nyingine ya kutumika kazini. Nambari hii ni tofauti sana na ile yako ya binafsi na itakuwa bora kama utaweza kuisajili kwa kutumia majina mengine bali na majina yako rasmi. Hata hivyo, unaweza kujiandikisha kwa majina yako halisi kisha kuitengea kazi ya Exotic Escort tu. Kuwa na simu inayoweza kuingia kwenye mtandao kwa ajili ya kufungua akaunti utakayotumia kuwasiliana na wateja wa Exotic Tanzania na kujiandikisha kwenye Whatsapp. Haya yatakuwezesha kuwasiliana na wateja kutoka nji za kigeni kwa urahisi.

2) Unapoenda kumwona mteja, usibe na pesa nyingi (nauli pekee inatosha). Wacha ATM yako, simu yako binafsi na / au vitu vyenye thamani nyumbani au mahali popote salama. Kuwa na salio ya kutosha kilipia teksi.

3) Hakikisha ya kwamba unaweza kutoa pesa iliyo kwenye akaunti yako ya benki kupitia kwa rununu.

4) Ikiwa unataka kuenda kwenye bafu kuoga wakati una mteja, beba simu na mkoba wako. Wacha mlango wa bafuni wazi na uwe makini kabisa kwa sababu kuna wateja ambao huchukua fursa hii kutoroka bila kulipa.

5) Ikiwa unataka kulala, ficha simu yako haswa chini ya godoro na pia uwe makini zaidi.

6) Usithubutu hata kiogo kulala kabla ya mteja uliye naye. Mruhusu alale kwanza, kisha utafuata. Kima itakupasa kujifanya kuwa umelala, unaweza kufanya hivyo lakini uendelee kuwa macho hadi uwe na hakika ameshalala kwanza.

7) Baada ya kumaliza majadiliano juu ya bei na mahali mtakapokutana, muulize mteja jinsi atakavyolipa – kwa mkono, salio kwenye simu, au kupitia kwa benki – na kumkumbusha kwa upole kwamba malipo hutanhulia huduma.

Ikiwa anataka kulipa kupitia kwa simu, hakikisha umepata ujumbe rasmi ya kupokea malipo na ujitahadharishe sana dhidi ya jumbe bandia.

8) Usichukue video yako ukiwa uchi kumwonyesha mteja yeyote kwenye mtandao. Baadhi ya wateja wanaweza kuzitumia video hizo kukulazimisha kuwapa huduma ya bure au kukunyangánya pesa. Ni sawa kupiga simu ya video, lakini uwe umevalia nguo. Baadhi ya wateja wanauliza nudes na wanawake wengi sana hulipisha ada kiasi kwa huduma hii.

Kwa maono yetu, wahudumu wanaotumia picha zao halisi kwenye tovuti hufanikiwa sana katika biashara hii. Tukithibitisha ya kwamba picha uliyotuma ni yako halisi, unaweza kumwambia mteja kwamba picha iliyoonyeshwa kuwa VERIFIED kwenye wasifu wako ni ya ukweli na umjulishe kwamba atalazimika kulipia picha za ziada au zaidi utakazumtumia, ikiwa ni pamoja na video. Usitume picha zinazoonyesha sura yako.

9) Si vyema kukutana na mteja katika nyumba yake lakini ikikulazimu, nenda tu ikiwa eneo anayoishi inajulikana kuwa salama. Zaidi ya hayo, mjulishe rafiki yako mmoja mahali unapoenda ili kuhakitisha usalama wako. Unaweza kufanya hivyo kwa kupigia simu mtu mwingine ukimweleza ulipo na muda unaotajaria kuwa na mteja huyo. Nahikisha ya kwamba mteja wako anasikiliza mazungumzo hayo.

Hata hivyo ni bora kukutana katika hoteli yenye sifa nzuri, na usalama. Msikutane katika nyumba ya rafiki ya mteja kwa sababu ya hatari kubwa ya ubakaji.

 


10) Kabla ya kwenda kwenye hoteli kukutana na mteja, tafuta jina na anwani ya hoteli hiyo kwenye mtandao. Angalia jumla ya pesa zizazohitajika kulipwa ili kutumia chumba katika hoteli hio, na usisite kupiga sime kwenye hoteli hio kuuliza kama mteja unayeenda kumwona ameshakodi chumba humo.  Ikiwezekana, ulizia kama mteja huyo amelipia chumba alichohifadhi.

11) Usikubali kukutana na mteja mpya ambaye aliomba huduma kati kati ya usiku. Mjulishe kwamba unahitaji muda wa kujiandaa kisha umwombe nafasi ya kukutana baadaye. Kama unamjua mteja anayeitisha huduma usiku, hakuna hatari kukutana naye.

12) Jaribu sana kukutana na wateja kwako kkwa ajili ya usalama wako. Hakikisha vitu vyako vya thamani na simu za ghali ziko mbali, na hauna kiasi kikubwa cha fedha nyumbani. Tunakuhimiza kutafuta mahali salama pa kukutana na wateja, na ambapo pana nafasi ya kutosha kuegeshea magari.

13) Ni vyema kumaliza majadiliano yote kuhusu huduma unazopeana, bei, muda na mahali pa mkutano kwenye simu. Kumbuka si wateja wote wanaotaka huduma sawa na kwa hiyo ni vyema kuwatajia huduma zote unazotoa ili wajue mapema. Mnapoendelea na mazungumzo hayo, mkumbushe kwa upole ya kwamba malipo hufanywa kabla ya huduma.

14) Mteja anapofika kwako, kumbuka kumkaribisha kwa tabasamu, kisha anapoketi mkumbushe kukupa hela zako kwanza. Ikiwa huduma inafanyika mahali pengine, kama vile nyumbani kwa mteja au hotelini, iitisha malipo yako mara moja ukimaliza kupunga hewa na kabla ya kutoa huduma.

15) Ikiwa umesafiki mbali kukutana na mteja, tafadhali mjulishe ya kwamba anatakiwa kulipa nauli yako. Anaweza kutuma hela hizo kupitia kwa simu ya mkononi au kuagiza uber / teksi na kisha alipe nauli inayotosha kukuchukua na kukurudisha nyumbani mwako. Unaweza kumwambia ya kwamba unatumia ada hio kama amana. Hii itakusaidia kurudi nyumbani ikiwa mteja huyo ni bandia.

16) Ikiwa mteja wako amesita kulipa kwanza, mwombe radhi kisha uondoke mara moja.

 

English Version

© 2024 Exotic Tanzania